2 Samuel 23:34-39


34 aElifeleti mwana wa Ahasbai, Mmaakathi;
Eliamu mwana wa Ahithofeli, Mgiloni;

35 bHezro, Mkarmeli;
Paarai, Mwarbi;

36 cIgali mwana wa Nathani kutoka Soba;
Bani, Mgadi;

37 dSeleki, Mwamoni;
Naharai, Mbeerothi, aliyekuwa mbeba silaha za Yoabu mwana wa Seruya;

38 eIra, Mwithiri;
Garebu, Mwithiri;

39 fna Uria, Mhiti.
Jumla yao wote walikuwa watu thelathini na saba.
Copyright information for SwhKC